Wachambuzi na wanahabari isemeeni Taifa Stars zaidi kuliko Simba na Yanga

Wachambuzi na wanahabari isemeeni Taifa Stars zaidi kuliko Simba na Yanga

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Taifa Stars ndiko waliko watanzania wetu kuliko vilabu ambavyo vimejaa wageni wengi. Taifa Stars ni moja kati ya tunu zetu za taifa, mnasubiri nini kuongelea na kuhamasisha watu kuijua na kuipenda timu yao? mnasubiri kulipwa ili kuichambua na kuhamisha watu kuipenda na kujaza viwanja wakati wa mechi zake?

Habari ni mhimili wa nne wa dola, na Uzalendo lazima uchagizwe na mhimili huu kwakuwa ndio mhimili unahabarisha, kuburudisha na kuelimisha watu kila siku.

Kwanini timu ya taifa hamuipi uzito kama ule wa Simba na Yanga na timu nyingine?
 
Sasa Kwa mfano wewe nikupe dakika 10 tuongelee Taifa stars utaongelea Nini?
Taifa stars haina chochote cha kujadiliwa
Mkitafute sasa, tafuteni maudhui swafi ya kuibrand taifa stars. Mfano, haifai taifa stars kuvaa matambara ya hovyohovyo kama jezz. Taifa stars lazima iwe na jezz Bora kabisa kuliko timu kutoka makampuni ya kidunia.
 
Sasa Kwa mfano wewe nikupe dakika 10 tuongelee Taifa stars utaongelea Nini?
Taifa stars haina chochote cha kujadiliwa
Ongelea kuhusu umuhimu wa timu ya taifa na nini kinafaa ili kusaidia ushindi wa timu ya taifa. Kama Bongozozo mzungu anacho cha kusema kuhusu timu ya taifa wewe mwandishi wa habari mwenye kipaza sauti unashindwa nini kupata cha kuongelea?. Kuna vitu mimi vilinifanya mimi niachage kuhangaika na timu ya taifa ambavyo ni pamoja na:
1. Raia namba moja kuikatia tamaa timu yake ya taifa hadi akaiita kichwa cha mwenda wazimu. Kama yeye kasema hivyo mimi ni nani?
2. Uteuzi wa timu ya Taifa. Kuna tatizo la kuangalia wangapi wametoka Simba na wangapi watatoka Yanga bila kuzingatia mahitaji ya timu.
3. Viongozi na wanasiasa kujitokeza siku moja kabla ya mechi na ahadi kedekede. Wanataka ng'ombe anenepe siku ya mnada tu.
4. Jezi ya timu ya taifa. Jezi ya timu ya taifa lazima iwe kali sana/quality ya kutosha kutoka makampuni yanayoeleweka na serikali ina subsidize bei ya jezi hiyo ili kila mtu aipate ikiwa na ubora uleule . Sio matambara yenye nembo ya mdhamini ya timu fulani.
5. TFF/Serikali washirikishe watanzania kwenye timu yao kwa njia mbalimbali kama vile kucheza bahati na simu kwa washindi kusafiri na timu yao na zawadi nyingine za papo kwa papo uwanjani kwa waliohuduria ikiwa ni pamoja na burudani mbalimbali uwanjani siku ya mechi.
 
Ongelea kuhusu umuhimu wa timu ya taifa na nini kinafaa ili kusaidia ushindi wa timu ya taifa. Kama Bongozozo mzungu anacho cha kusema kuhusu timu ya taifa wewe mwandishi wa habari mwenye kipaza sauti unashindwa nini kupata cha kuongelea?. Kuna vitu mimi vilinifanya mimi niachage kuhangaika na timu ya taifa ambavyo ni pamoja na:
1. Raia namba moja kuikatia tamaa timu yake ya taifa hadi akaiita kichwa cha mwenda wazimu. Kama yeye kasema hivyo mimi ni nani?
2. Uteuzi wa timu ya Taifa. Kuna tatizo la kuangalia wangapi wametoka Simba na wangapi watatoka Yanga bila kuzingatia mahitaji ya timu.
3. Viongozi na wanasiasa kujitokeza siku moja kabla ya mechi na ahadi kedekede. Wanataka ng'ombe anenepe siku ya mnada tu.
4. Jezi ya timu ya taifa. Jezi ya timu ya taifa lazima iwe kali sana/quality ya kutosha kutoka makampuni yanayoeleweka na serikali ina subsidize bei ya jezi hiyo ili kila mtu aipate ikiwa na ubora uleule . Sio matambara yenye nembo ya mdhamini ya timu fulani.
5. TFF/Serikali washirikishe watanzania kwenye timu yao kwa njia mbalimbali kama vile kucheza bahati na simu kwa washindi kusafiri na timu yao na zawadi nyingine za papo kwa papo uwanjani kwa waliohuduria ikiwa ni pamoja na burudani mbalimbali uwanjani siku ya mechi.
Hiyo team ya Taifa ikishinda watu wanampongeza Rais

Kama team ya kisiasa ya Chama tawala, sisi kutoka vyama vya upinzani tunaonaga ni kama team ya CCM
 
Hiyo team ya Taifa ikishinda watu wanampongeza Rais

Kama team ya kisiasa ya Chama tawala, sisi kutoka vyama vya upinzani tunaonaga ni kama team ya CCM
Mbona Simba na Yanga ziko hivyo pia mkuu? Kwa mujibu wa Katiba yetu kila kitu kibaya na kizuri ni juu ya Rais wa nchi, ana wajibu. Kila mtu anafanya kwa niaba ya Mkuu wa nchi. Unataka sifa ziende kwa nani? hapo sikubaliani na wewe.
 
Back
Top Bottom