Najaribu kubashiri ujinga tutakaosikia kwa wachambuzi na watu wajinga wajinga waliopewa fursa katika media za kiswahili.
Hapo utawasikia wakiisifu timu yao kuwa ingecheza na mamelody ingeweza kumfunga kwa kuwa ina kikosi kipana.
Ni watu wasiojua mpira zaidi ya ushabiki na unafiki tu.
Hapo utawasikia wakiisifu timu yao kuwa ingecheza na mamelody ingeweza kumfunga kwa kuwa ina kikosi kipana.
Ni watu wasiojua mpira zaidi ya ushabiki na unafiki tu.