Nina uhakika leo wachambuzi wengi walio kwenye pay roll ya timu la mchongo wanashindwa kupumua hasa jioni hii baada ya timu yao kung'olewa.
Sasa tunavyowajua inabidi msubiri mechi ya usiku ili mpate cha kusema dhidi ya Simba.Ila leo mtajidai mko busy na AFCON wakati tunajua macho na masikio yenu yalikuwa Zanzibar asilimia 90%.
Poleni sana
Sasa tunavyowajua inabidi msubiri mechi ya usiku ili mpate cha kusema dhidi ya Simba.Ila leo mtajidai mko busy na AFCON wakati tunajua macho na masikio yenu yalikuwa Zanzibar asilimia 90%.
Poleni sana