changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Humu kuna hesabu za uongo na kweli watu wakipeana imani kuwa simba ina uhakika ya kuanzia raundi ya pili kwasababu anashika nafasi ya 12 hivyo ana uhakika wa kuchukua nafasi ya pyramid na Berkane msimu ujao endapo watatolewa na Pirates hapo kesho. Wachambuzi wa bongo wameangalia tu upande wa juu ya Simba na kutoa hitimisho lakini kwasasa mambo yameshabadilika huko simba ili waanze raundi ya pili msiku ujao ni lazima kesho wamtoe Orlando pirates maana hakutakuwa na mbeleko ya Berkane wala Pyramid. Mpaka sasa msimamo upo hivi
1) Al Ahly point 73
2) Esperance point 58
3) Wydad point 56
4)Raja point 54
5)Mamelod point 46
6) Zamalek point 43
7) Berkane point 39 huyu namtoa kwasababu hatofuzu hivyo nafasi yake inabebwa na [emoji116]
7) Tp Mazembe point 38
8) Pyramid point 34 huyu nae hatofuzu hivyo namtoa pia hivyo yake itabebwa na [emoji116]
8)Pdtro luanda point 33
9) Etoil du Sahel point 32
10) Horoya point 31
11) Simba & Setif wote point 28
Timu ya kwanza hadi ya kumi zote zina uhakika wa kufuzu kwenye ligi zao kucheza klabu bingwa. Hivyo njia pekee ya Simba kutoanza hatua ya awali ni kumtoa Orlando pirates kesho
1) Al Ahly point 73
2) Esperance point 58
3) Wydad point 56
4)Raja point 54
5)Mamelod point 46
6) Zamalek point 43
7) Berkane point 39 huyu namtoa kwasababu hatofuzu hivyo nafasi yake inabebwa na [emoji116]
7) Tp Mazembe point 38
8) Pyramid point 34 huyu nae hatofuzu hivyo namtoa pia hivyo yake itabebwa na [emoji116]
8)Pdtro luanda point 33
9) Etoil du Sahel point 32
10) Horoya point 31
11) Simba & Setif wote point 28
Timu ya kwanza hadi ya kumi zote zina uhakika wa kufuzu kwenye ligi zao kucheza klabu bingwa. Hivyo njia pekee ya Simba kutoanza hatua ya awali ni kumtoa Orlando pirates kesho