Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Inasikitisha sana, hawa makocha wetu walioalikwa kuchambua soka hususan STAR TV! Walikuwa wanaboa vibaya,hawakuwa wachambuzi wa soka bali UNAZI! walikuwa wanashabkia wachezaji na kuwazodoa waalimu wa timu husika. Wakiwasifia wachezaji wetu wa ndani bila kujua afya zao, kiasi kwamba wakapelekea wachezaji kuchezeshwa wakiwa wagonjwa kwa shinikizo!
Hakuna cha maana kilichofanywa na wachezaji waliokuwa wakiwashabikia na kuwapigia debe zaidi ya kurudi kwenye maumivu yao....
Huwezi kumzidi kujua mtu kuliko yule anaeishi nae....
Makocha wetu wa Kizalendo, ikiwa ninyi mna uwezo si padisheni timu mlizonazo viwango!? Msiwalaumu wachezaji wetu na makocha wa nje, waacheni wafanye kazi zao ili muepuke aibu. Mnapopewa nafasi ya kuchambua soka CHAMBUENI SOKA na SI KUZODOA WACHEZAJI...
LA ASAMOAH ni FUNZO KWENU.
Hakuna cha maana kilichofanywa na wachezaji waliokuwa wakiwashabikia na kuwapigia debe zaidi ya kurudi kwenye maumivu yao....
Huwezi kumzidi kujua mtu kuliko yule anaeishi nae....
Makocha wetu wa Kizalendo, ikiwa ninyi mna uwezo si padisheni timu mlizonazo viwango!? Msiwalaumu wachezaji wetu na makocha wa nje, waacheni wafanye kazi zao ili muepuke aibu. Mnapopewa nafasi ya kuchambua soka CHAMBUENI SOKA na SI KUZODOA WACHEZAJI...
LA ASAMOAH ni FUNZO KWENU.