only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,527
Katika hali ya kusikitisha kabisa,napenda kutoa dukuduku langu kuhusu anayejiita mchambuzi wa soka nchini Edo Kumwembe....Kimsingi sijui huyu jamaa kasoma wapi taaluma ya michezo,tulikuwa na watu kama Said Mzirai aka super coach mwanangu..hawa walikuwa wamesomea kabisa masuala ya michezo.Leo hii watu kama Edo ni uizi mtupu,kazi yao ni kuchambua mambo kwa ushabiki na kuponda tu.wana fikra za kimagharibi wakati ni watu weusi.....Mimi siwezi kumsikiliza huyu jamaa maana naona ni mbabaishaji tu....................