umejuaje kama ni mbabaishaji kama huwa humsikilizi. acha wivu wa kijinga. edo kumwembe is among the best football analysits in tanzaniaKatika hali ya kusikitisha kabisa,napenda kutoa dukuduku langu kuhusu anayejiita mchambuzi wa soka nchini Edo Kumwembe....Kimsingi sijui huyu jamaa kasoma wapi taaluma ya michezo,tulikuwa na watu kama Said Mzirai aka super coach mwanangu..hawa walikuwa wamesomea kabisa masuala ya michezo.Leo hii watu kama Edo ni uizi mtupu,kazi yao ni kuchambua mambo kwa ushabiki na kuponda tu.wana fikra za kimagharibi wakati ni watu weusi.....Mimi siwezi kumsikiliza huyu jamaa maana naona ni mbabaishaji tu....................
Katika hali ya kusikitisha kabisa,napenda kutoa dukuduku langu kuhusu anayejiita mchambuzi wa soka nchini Edo Kumwembe....Kimsingi sijui huyu jamaa kasoma wapi taaluma ya michezo,tulikuwa na watu kama Said Mzirai aka super coach mwanangu..hawa walikuwa wamesomea kabisa masuala ya michezo.Leo hii watu kama Edo ni uizi mtupu,kazi yao ni kuchambua mambo kwa ushabiki na kuponda tu.wana fikra za kimagharibi wakati ni watu weusi.....Mimi siwezi kumsikiliza huyu jamaa maana naona ni mbabaishaji tu....................
Ni kweli. Vigumu kujua anashabikia timu ipi na hayuko biased.mimi nadhani Edo ni mchambuzi bora zaidi wa soka nchini na huwa haongelei ushabiki anapochambua mpira. Lakini kumbuka kuwa uchambuzi hausomewi kama unavyosema...unajipambanua kutokana na hoja zako. Halafu pia Edo hajiiti mchambuzi hila sisi mashabiki na watu wanaomualika katika Televisheni na magazeti ndio tunamuona mchambuzi. Mara zote nimewahi kumuona akizisifia timu mbalimbali na pia akiziponda. ni vigumu kujua anapenda timu gani. Ana kipaji cha kipekee katika kuchambua mambo ya soka na akiandika Article utapenda jinsi anavyoitumia lugha yake. Kifupi, Article zake zinapendwa na kuaminiwa na wengi kuliko mwandishi mwingine yoyote yule wa michezo nchini.
Kuna siku kulikuwa na michuano ya Kombe la Dunia la mwaka 2002 kama sikosei, kuna mchangiaji mmoja alisema wataalamu wa soka la Tanzania walitakiwa waende kwenye hizi michuano kwaajili ya kujifunza na kupata ujuzi wa kuinua soka la Tanzania.
Edo alivyosikia hivyo, akadakia na kumwelewesha mtangazaji siku hiyo alikuwa Maulid Kitenge wa ITV alisema watu kama sisi (akiwa na maana ya yeye Edo) tulitakiwa tuende kwenye hayo mafunzo, Maulid alicheka sana maana Edo kama vile aliutaka huo ulaji wa kufika majuu.
Usiumie bure, hawa jamaa hasa edo hana lolote,anajifanya kuchambua wakati watu tunaoshinda tukiperuzi tunafaham wanapodig hizo info na kuzitoa bila hata kuedit. Kwanza huo ni wizi nijuavyo mm, walitakiwa kutoa source. Anachojua ni kujisifia tu.. Mara nilipokuwa K'ro hotela, nilipoenda brazil, nilipopiga picha na nani... Wachambuzi gani wa kusema yale Wasemayo wa maandishi wa magharibi?
Katika hali ya kusikitisha kabisa,napenda kutoa dukuduku langu kuhusu anayejiita mchambuzi wa soka nchini Edo Kumwembe....Kimsingi sijui huyu jamaa kasoma wapi taaluma ya michezo,tulikuwa na watu kama Said Mzirai aka super coach mwanangu..hawa walikuwa wamesomea kabisa masuala ya michezo.Leo hii watu kama Edo ni uizi mtupu,kazi yao ni kuchambua mambo kwa ushabiki na kuponda tu.wana fikra za kimagharibi wakati ni watu weusi.....Mimi siwezi kumsikiliza huyu jamaa maana naona ni mbabaishaji tu....................