Wachambuzi wa Soka kuweni wakweli

Wachambuzi wa Soka kuweni wakweli

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
159F0531-8C56-4249-9612-AF4301D9A691.jpeg

Yanga wapo kwenye nyakati bora sana hivi sasa, walipokuwa wanakosea walisemwa sana na wakabeba kama changamoto, wamebadilika na wapo mbali sana.

Juhudi za kuwasifia ziwe kama zile ambazo zilikuwepo wakati wa kuwakosoa, ukifanya hivyo umeiheshimisha taaluma ya Habari, usione haya!
 
Yanga siyo kama simba! Hata usipowasifia, wanashinda tu.
 
Kaa kwa kutulia yanga ni vitendo dhidi ya maneno [emoji41]
 
Back
Top Bottom