S Smart codetz JF-Expert Member Joined Jan 25, 2023 Posts 218 Reaction score 875 Apr 8, 2023 #1 Yanga wapo kwenye nyakati bora sana hivi sasa, walipokuwa wanakosea walisemwa sana na wakabeba kama changamoto, wamebadilika na wapo mbali sana. Juhudi za kuwasifia ziwe kama zile ambazo zilikuwepo wakati wa kuwakosoa, ukifanya hivyo umeiheshimisha taaluma ya Habari, usione haya!
Yanga wapo kwenye nyakati bora sana hivi sasa, walipokuwa wanakosea walisemwa sana na wakabeba kama changamoto, wamebadilika na wapo mbali sana. Juhudi za kuwasifia ziwe kama zile ambazo zilikuwepo wakati wa kuwakosoa, ukifanya hivyo umeiheshimisha taaluma ya Habari, usione haya!
redio JF-Expert Member Joined Aug 27, 2016 Posts 5,813 Reaction score 12,921 Apr 8, 2023 #2 Yanga hawaitaji kusifiwa Wala kujitututumua mpira wanao cheza utafunga midomo yote, ni swala la muda tu.
Yanga hawaitaji kusifiwa Wala kujitututumua mpira wanao cheza utafunga midomo yote, ni swala la muda tu.
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Apr 8, 2023 #3 Yanga siyo kama simba! Hata usipowasifia, wanashinda tu.
NALIA NGWENA JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 10,587 Reaction score 13,425 Apr 8, 2023 #4 Kaa kwa kutulia yanga ni vitendo dhidi ya maneno [emoji41]
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Apr 8, 2023 #5 Tate Mkuu said: Yanga siyo kama simba! Hata usipowasifia, wanashinda tu. Click to expand... Unaiwaza Simba tu. Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Tate Mkuu said: Yanga siyo kama simba! Hata usipowasifia, wanashinda tu. Click to expand... Unaiwaza Simba tu. Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app