Wachambuzi wa soka na English

Wachambuzi wa soka na English

Patriot2

Senior Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
169
Reaction score
262
1. Aisee wale ni:

Left backs sio back left
Right back sio back right.

Mbona hamsemi kickfree ama kickgoal?

2. Moja ya vitu sio moja ya kitu. Moja katika ya vingi.

Man up
 
1. Aisee wale ni:

Left backs sio back left
Right back sio back right.

Mbona hamsemi kickfree ama kickgoal?

2. Moja ya vitu sio moja ya kitu. Moja katika ya vingi.

Man up
Kanjanja hao.
 
Back
Top Bottom