Wachangiaji bora wa mwaka

mi nilijua labda ananijua ...maybe tumepanga sehemu manake sio kwa likes zile ...

nikitukana analike ..nikitukanwa analike ..tusi lililotukanwa nalo analilike ,,mtu anaesema msitukanane nae anamlike ...aseee apewe tuzo huyu mzee baba
Umeniwahi mkuu.

mkwepu jr ana like hadi raha.

Apewe special recognition awards for the outstanding liking. [emoji23][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23]
Hata mimi nikajua mshikaji ananifahamu au kuna agenda nyuma yake.

Ana like chochote emojis hata ukiandika nukta ana like.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaaa!! Walikuwepo watoa likes ila mkwepu jr ni balaa.
 
jamani humu licha ya kuwa ni uzi huu umekuwa dedicated hapa ila pia nna maswala hapa kidogo

ina case unataka kufanyiwa valuation (land + buildings)

au title transfer (unataka kuhamisha hatimiliki ya ardhi)

kwa dar pekee ...natoa msaada wa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…