Natafakari kwa kina hawa wachawi wangekuwepo. Ila kwa sasa hawa waliobaki nadhani ni wachawi ila hawatishi maana kuna watu bado majumbani wanalalamika kutokewa na wachawi usiku
Uchawi gharama kaka, zamani walikua wanapata materials bure siku hizi kila kitu kwa fweza sasa ataloga vipi mtu burebure wkt yeye inabidi anunue ubongo wa fisi kwa fweza!😀😀
Uchawi gharama kaka, zamani walikua wanapata materials bure siku hizi kila kitu kwa fweza sasa ataloga vipi mtu burebure wkt yeye inabidi anunue ubongo wa fisi kwa fweza!😀😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.