MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 562
- 319
Kwani ukiokoka haukabwi?Tukisema okokeni mnasema hakuna kuokoka duniani, tukisema mwaminini Yesu mnasema ukristo ni dini yawazungu, cye tuliookaka hatukani nambo ya namna hiyo, kabla cjaokoka niliteswa sana wachawi kwa namna hyohyo, bat today I thanks God through Jesus Christ nau niko huru, Mwamini Yesu mkuu nawe utaokoka nakadhia hiyo.
Mimi sio muoga mkuu,sasa ningefanyaje wakati mwili hauna nguvu.angeniachia nguvu zangu nimwonyeshe kazi.Ukiwa Tanga hayo ni mambo ya kawaida.Wanakukaribisha alafu wewe ni mwoga sana.Watakusumbua sana na usipokuwa strong utajifunza uchawi.
[emoji23]Mimi sio muoga mkuu,sasa ningefanyaje wakati mwili hauna nguvu.angeniachia nguvu zangu nimwonyeshe kazi.