Wachawi wa excel nisaidieni hili zoezi pasua kichwa nawezaje kulifanya

Wachawi wa excel nisaidieni hili zoezi pasua kichwa nawezaje kulifanya

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Habari zenu wakuu, natumaini mu wazima.

Kuna zoezi fulani nataka kulirahisisha excel

Ni kwamba nina sheet mbili, sheet ya pili ina list ya vitu navyotaka kuviweka kwenye sheet ya kwanza endapo vimeuzika kwa hio siku.

kwa sasa nachofanya ni kwamba mfano nimeuza kiberiti, huwa naenda kwenye sheet ya pili na copy cell yenye neno kiberiti nakuja kui paste kwenye sheet 1 kwenye column ya bidhaa zilizouzika.

Nachotaka kufanya ni kwamba badala ya kucopy na kupaste kutoka sheet 2 kuja sheet 1 nataka nikienda sheet 2 nikiminya tu sehemu kwenye hio cell ya kiberiti basi iji paste automatically kwenda kwenye cell inayofata ya sheet 1 bila ku copy na kupaste.

Naombeni msaada wenu.

Video hii inaonyesha tabu inayonipata kwa sasa, naombeni msaada
 

Attachments

  • Rec 405.mp4
    2.6 MB
Kwa nilivyo elewa unachotaka hapo inabd utengeneze data validation tables na utengeneze drop down list.

Kuna video hapa:
 
Kwa nilivyo elewa unachotaka hapo inabd utengeneze data validation tables na utengeneze drop down list.

Kuna video hapa:

Mkuu nina items 200 dukani, hio drop down menu nilijaribu naona haikusaidia maana inabidi niscroll sana.
 
microsoft access, kuna tools tofauti ndio maana hata kwenye toolbox kuna nyundo na msumemo.., ingawa unaweza kutumia msumeno kwa upande wa mshikio kugonga msumari ila hio sio kazi yake
 
Mkuu nina items 200 dukani, hio drop down menu nilijaribu naona ahaikusaidia maana inabidi niscroll sana,
Basi tumia access uweke database. Maana hyo item utaiwekaje kwenye box lako bila kuchagua ni item gan mzee? Software inajuaje kma Juma alichukua kiberiti kma hujasema kma alichukua kiberiti?
 
Hahahaa! Umenikumbusha kuna kpndi tulipewaga kazi sasa kuna msukuma akaingiza manamba ili jibu lionekane kumbe kanuni ya hesabu uliyotumia lazima ionekane.
 
Habari zenu wakuu, natumaini mu wazima.

Kuna zoezi fulani nataka kulirahisisha excel

Ni kwamba nina sheet mbili, sheet ya pili ina list ya vitu navyotaka kuviweka kwenye sheet ya kwanza endapo vimeuzika kwa hio siku.

kwa sasa nachofanya ni kwamba mfano nimeuza kiberiti, huwa naenda kwenye sheet ya pili na copy cell yenye neno kiberiti nakuja kui paste kwenye sheet 1 kwenye column ya bidhaa zilizouzika.

Nachotaka kufanya ni kwamba badala ya kucopy na kupaste kutoka sheet 2 kuja sheet 1 nataka nikienda sheet 2 nikiminya tu sehemu kwenye hio cell ya kiberiti basi iji paste automatically kwenda kwenye cell inayofata ya sheet 1 bila ku copy na kupaste.

Naombeni msaada wenu.

Video hii inaonyesha tabu inayonipata kwa sasa, naombeni msaada
Duh!!!wachawi tena,hebu futa kauli,ha ha......check hiyo sheet nimekutengenezea,chakufanya kwenye sheet niliyoiita lookup weka bidhaa zako na bei zake,then bidhaa zako zote na bei husika zitaonekana kwenye sheet ya kwanza niliyoiita mauzo,nimeongeza column ya tarehe na bei so utakachokua unajaza ni tarehe,mteja,chagua bidhaa husika na kiasi.
 

Attachments

Duh!!!wachawi tena,hebu futa kauli,ha ha......check hiyo sheet nimekutengenezea,chakufanya kwenye sheet niliyoiita lookup weka bidhaa zako na bei zake,then bidhaa zako zote na bei husika zitaonekana kwenye sheet ya kwanza niliyoiita mauzo,nimeongeza column ya tarehe na bei so utakachokua unajaza ni tarehe,mteja,chagua bidhaa husika na kiasi.
shukrani mkuu ntaitest asubuhi na kuleta mrejesho ,,,✌️✌️
 
Duh!!!wachawi tena,hebu futa kauli,ha ha......check hiyo sheet nimekutengenezea,chakufanya kwenye sheet niliyoiita lookup weka bidhaa zako na bei zake,then bidhaa zako zote na bei husika zitaonekana kwenye sheet ya kwanza niliyoiita mauzo,nimeongeza column ya tarehe na bei so utakachokua unajaza ni tarehe,mteja,chagua bidhaa husika na kiasi.
mKUU KWA HIO BADO NTAKOPI NA KU PASTE TENA???
 
mKUU KWA HIO BADO NTAKOPI NA KU PASTE TENA???
Hapana,ukishajaza bidhaa zako kwenye hiyo tab ya lookup hauna haja ya kukopi na kupesti,hizo bidhaa zitaonekana hapo kwenye column ya bidhaa,utaona kimshale cha kushika chini, ukiclick bidhaa zitaonekana thn utachagua unayoitaka
 
Hapana,ukishajaza bidhaa zako kwenye hiyo tab ya lookup hauna haja ya kukopi na kupesti,hizo bidhaa zitaonekana hapo kwenye column ya bidhaa,utaona kimshale cha kushika chini, ukiclick bidhaa zitaonekana thn utachagua unayoitaka
sioni mshahale mkuu
 

Attachments

  • Rec 409.mp4
    888.9 KB
Mi naomba kuuliza kwenye Excel naweza fanya data base ya jina la mtu mmoja mmoja ambae nikaweka information zao

Kihasi naweza tafuta taarifa husika bila shida kama ilivyo Access...?
 
Mi naomba kuuliza kwenye Excel naweza fanya data base ya jina la mtu mmoja mmoja ambae nikaweka information zao

Kihasi naweza tafuta taarifa husika bila shida kama ilivyo Access...?
Yah nadhani inawezekana,kuweka taarifa unaweza kutumia hata excel forms.
 
Naona tunatumia excel version tofauti lakini sio sababu sana,hebu check hiyo picha mshale naomaanisha huo niliozungushia duara,ukiclick kwenye cell yako bila kuandika chochote inatakiwa uonekane
 

Attachments

  • picha.jpg
    picha.jpg
    110.7 KB · Views: 9
Back
Top Bottom