Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 425
Mambo mengi mda mchachehahahaha nchi iko busy sana yaani ni mwendo wa bandika bandua paaap chrismass hii hapa....mara Jan 22..tunalipa Ada tunaelekea Pasaka na Eid... + Covid phase 4..
Hii kitu haifai kabisa
SureKuna umuhimu mkubwa wa kufundishwa diplomasia kwa kila mzungumzaji kwenye hadhira iliyo na watu wa mataifa mbalimbali.
Unaweza kudhani unachekesha watu kumbe unaharibu.
Public speaking is an art, the untrained need to be trained before being given platform.
Aibu naona mimi! Waliompa nafasi kama wana akili timamu, nadhani watakuwa wanajilamu kwa kumpa nafasi ile leo.
Masanja walau anapaswa kuwajibishwa hata kwa karipio tuuAibu naona mimi! Waliompa nafasi kama wana akili timamu, nadhani watakuwa wanajilamu kwa kumpa nafasi ile leo.
Kwanchi ilipofikia, tusishangae kusikia amepata teuzi. MchungajiMasanja walau anapaswa kuwajibishwa hata kwa karipio tuu
Kwanza anachekesha kizamani..kwamba anajifanya eti anatembea kama mtu wa kijijini kwangu mimi protocal ya maonyesho inatakiwa ijitadhimini.Kuna umuhimu mkubwa wa kufundishwa diplomasia kwa kila mzungumzaji kwenye hadhira iliyo na watu wa mataifa mbalimbali.
Unaweza kudhani unachekesha watu kumbe unaharibu.
Public speaking is an art, the untrained need to be trained before being given platform.
Ningekua Mimi ndomasanja ningesema acheni mama asafiri tutakula wapi na ccm ndipo imetufikisha ...