wacheza kamali ni wapumbavu sana

mair erasto

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2016
Posts
413
Reaction score
425
mcheza kamali akiliwa hata milion 1 akipewa 2000 ktk ile hela aliyo liwa huwa anafurahi sana.

na mcheza kamali kwa siku moja anaweza akala magali mawili lakini nayeye vyote kesho analiwa vyote hadi vitu vya ndani yani sofa tv kitanda nk.

na mcheza kamali asipo cheza wiki mbili anaweza akaanza kuumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…