A
Anonymous
Guest
Pale Ubungo flyover kuna wababa na wamama watu wazima wanachezesha mchezo wa pata-potea. Wanawashawishi wapita njia, wageni na watoto wasiojua huo mchezo na kuwaibia.
Hii imekua kero sana, naomba serikali ilitazame hili na kuchukua hatua.
Hii imekua kero sana, naomba serikali ilitazame hili na kuchukua hatua.