Kwa chenga mwisho wao ni denilson.Jaizinho alikuwa bora lakini kwa pelle ni habari nyingine
Kwa wabrazili akitoka pelle anaefuata ni garincha mchawi mwingine wa kasi na chenga
Kwa chenga mwisho wao ni denilson.
brain is the beautiful part of the body.
Kapiga sana rabona enzi hizo watu hawazijui..Inawezekana kaka, uzuri wa Pele alikuwa hana kimoja, alikiwa ni mchezaji mkamilifu, kila idara yuko fit, kwa Pele togauti ya mguu wa kulia na kushoto ilikuwa ndogo sana, yeye alikiwa anacheza mpira na miguu yote, kushoto unapasia kulia na kulia unapasia kushoto
Watu wanafunga Tiktak sasa lakini yeye ndio mwasisi wa hiyo bicycle kick
Ni kweli mkuu, alionekana kuwa na full package.Inawezekana kaka, uzuri wa Pele alikuwa hana kimoja, alikiwa ni mchezaji mkamilifu, kila idara yuko fit, kwa Pele togauti ya mguu wa kulia na kushoto ilikuwa ndogo sana, yeye alikiwa anacheza mpira na miguu yote, kushoto unapasia kulia na kulia unapasia kushoto
Watu wanafunga Tiktak sasa lakini yeye ndio mwasisi wa hiyo bicycle kick
denilson ni hatari sana ukitaka umjue vizur angalia highlight za kombe lamabara 98 yule anaweza piga chenga mpaka wenzieKwa chenga mwisho wao ni denilson.
brain is the beautiful part of the body.
[emoji3] [emoji3] yule jamaa alikuwa mwisho wa vyenga na ndo maana alikuwa anapewa nafasi mwishoni kabisa kama wameshinda ili kuwapotezea muda.denilson ni hatari sana ukitaka umjue vizur angalia highlight za kombe lamabara 98 yule anaweza piga chenga mpaka wenzie
Sent using Jamii Forums mobile app
Maradonna ndo kiboko yake,Brazil ya miaka ile hata John Bocco na Kichuya wangeng'ara.Namuona CR7 kaibeba timu yake ya taifa kuliko mwingine yeyote.Huyo Pele ni bahati alizungukwa na timu ya sayari tofauti.Hiyo fainali ya 1970 shujaa wa Brazil alikuwa Jaizinho. Alifunga goli kila mechi. Pele alizungukwa na timu bora sana.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Sijamuona Tambwe na kichuya humoo
Soma vizur...#59Neymar yupo iniesta hayupo hii list ya uongo kabca
sent from using iphone 7+ mobile app
Cameroon ilikuwa vizuri aisee, Roger Milla alikuwa bonge la no. 9Pia Roger Milla na Thomas N'kono of Cameroon 1990 should in the list. Hii ni timu iliyoishinda best Argentinian Team which include Maradona, Burruchaga na Caniggia. Pia walikuwa world Champions at that time. This Cameroonian team should have won world cup in 1990 but referees favour England in quarter final.
This was the best team of 1990, they were serious, confident, uncompromising and taking no prisoners.They should have won world cup in 1990..
Great injustice committed against them. Try to watch full match and see for yourself. Here are the highlights:-
Fumbafu thana,ina maana mpira unachezwa Ulaya tuu na America kusini? Fumbafu thana
Sent using Jamii Forums mobile app