Wachezaji 20 Simba SC waondoka nchini kuelekea Alexandria Misri kuifuata Al- Ahly

ukimya usiwe
Timu imeondoka kimya kimya, sio kama raundi zilizopita. Afadhali Manara kapigwa breki. Huwaweka wachezaji under pressure.
nakumbuka fainali na stella abijan timu iliingua single file kwa upole matokeo bao lilitengenezwa katikati kwa kupigwa chenga baridi wachezaji 2 na nyavu kutingishika timu ifanye jaramba za kutosha.kipa unaweza vunga kushoto muongoze apige kulia utakapo udaka.ndivo kipa alivyo okoa shambulio moja takatifu kipa alipotea kushoto kwake lakini akageuka kabla ya kutua na kuokoa mpira kulia.makipa wanaonekana kusafiri chini zaidi na mipira kutinga juu yao.hakuna haja ya kubahatisha mda wote goti la mpigaji mara nyingi ubapa wake huelekea atakapo piga
 
Tafuta timu ya kushabikia aisee! Huo si mpira tunaofahamu wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao Mashabiki jina. Hajui kama Al Ahly ndio Madrid ya Africa. Yeye anaamini timu yake inaweza kuishinda Al Ahly tena kwenye uwanja wake. Na ikitokea Simba kafungwa anaona uzembe umefanyika. Mashabiki kama hao ndio wanafanya siku hizi soka la Bongo nifuatilie matokeo tu.
 
Kama sijaelewa mimo Hakuna aliyeelewa.
 
Kwa mujibu wa Manara level yenu kwasasa ni kuzifunga Barcelona, Man City na hata Madrid,sasa inakuwaje muiogope Aly Ahly?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…