Unatuuliza sisi ni tff? Kolo umechanganyikiwa.Kwanini Msuva ameandikwa kama mchezaji wa JS Kablyie wakati alivunjiwa mkataba na currently hana timu?
CCM huwajui wakilazimisha kitu eti?Kwanini Msuva ameandikwa kama mchezaji wa JS Kablyie wakati alivunjiwa mkataba na currently hana timu?
KWANI WEWE NI MAMA YAKEKibu kazaliwa mwaka 2000
Mzamiru 1996 hahaha.Kibu kazaliwa mwaka 2000
hahahahahahahahaWale wa timu yetu inawachezaji wengi Timu za taifa, Kiko wapi
Timu ya Tanzania yanga inao 4, kimataifa inao 3 jumla 7 wanakwenda AFCON na ni first eleven ya timu husika sio kukaa benchi, Tuambie timu yako inao wangapiWale wa timu yetu inawachezaji wengi Timu za taifa, Kiko wapi
Kama tunakubaliana kuwa Mzize ni wa mwaka 2005, tunashindwaje kuamini kuwa Kibu kazaliwa 2000?Kibu kazaliwa mwaka 2000
[emoji23][emoji23][emoji23] Diara BENCHTimu ya Tanzania yanga inao 4, kimataifa inao 3 jumla 7 wanakwenda AFCON na ni first eleven ya timu husika sio kukaa benchi, Tuambie timu yako inao wangapi