eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
We hauko serious.... Mbona simwoni Shiza Kichuya??Christiano ronaldo
Leonel messi
Neymar jr
Eden hazard
Antoine griezman
Luis suarez
hii nimeipenda
Mi sijaweka nambaUngeanza na Messi
Kucheza match chache hakumfanyi ubora wake upungueCr7 kaisha , timu inambeba . utaona anacheza mechi chache kwa msimu. Mf 2016/17 kacheza mechi chache na hata alizocheza alizofanyaga vizuri ni chache hasa zile 5 za mwisho za Uefa. Labda unambie mafanikio kweli jamaa yupo vizuri sana kwa mafanikio. Lakini kwa sasa Madrid hawampi 100% zote kuwa bila yeye ni pigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusiongee kishabiki. Mwenyewe namkubali sana CR 7 kwa mambo alioyafanya na anayoyafanya. Sizani kama Cr 7 wa sasa anaweza mudu mzunguko mzima wa msimu. Kwa sasa Zidane anamtumia kama mzee wa timu ........ Madrid kuna mafundi sana tena watu kazi. Najua ubora hatutazami idadi ya mechi ...lakini kama ulimfatilia msimu uliopita alipwaya sana akaja fufuka mwishoni .Kucheza match chache hakumfanyi ubora wake upungue
Christiano ronaldo
Leonel messi
Neymar jr
Eden hazard
Antoine griezman
Luis suarez
Inawezekana ndio maana zidane anampumzisha ili kulinda kiwango chakeTusiongee kishabiki. Mwenyewe namkubali sana CR 7 kwa mambo alioyafanya na anayoyafanya. Sizani kama Cr 7 wa sasa anaweza mudu mzunguko mzima wa msimu. Kwa sasa Zidane anamtumia kama mzee wa timu ........ Madrid kuna mafundi sana tena watu kazi. Najua ubora hatutazami idadi ya mechi ...lakini kama ulimfatilia msimu uliopita alipwaya sana akaja fufuka mwishoni .
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo langu si kuweka nambanext time orodha yako anza na MESSI otherwise unaonekana boy....