Wachezaji Bongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kwenye soka

Jery Tegete mbona bado yupo anacheza ligi kuu
 
Kuna Moris waliwika Tz prison, Yanga akafail
Huyo ni Harry Morris, kaka yake alikua anaitwa Oswald Morris. Oswald alichezea tz prisons kwa mafanikio mpaka akapewa cheo cha captain na jeshi la magereza, japo Simba na Yanga walimtaka sana lakini aliwagomea. Harry yeye alipohama basi na nyota yake ikafa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu kwa kumbukumbu, ilinipotea kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…