Wachezaji Bongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kwenye soka

inasemekana wakati anahojiwa na uhamiaji.
Ameulizwa umezaliwa wapi
Akajibu Kibaha
Akaulizwa Kibaha ipo mkoa gani
Akajibu Mkoa WA Kigoma
alikua mwalimu wa kifaransa na hesabu st.marys ya tabata ila kwenye 2003 huko
 
Mwingine chama mpigadebe stand ya Lusaka
 
Yule dogo wa yanga aliyeshine kwenye game ya Tp mazembe anaitwa mahadhi kama sikosei ,naona siku hizi kawa model,soka ndio basis kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…