Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Huyu bwana ana bahati mbaya zaidi na kitu anachojutia katika Maisha yake labda ni kuzaliwa kizazi kimoja na akina messi and ronaldo.Andre Iniesta
Naunga mkono hoja.Andre Iniesta
Hakika alistahili kabisa. Fifa wakamchinja bahariniWesley sneidjer mwaka 2010
Kwa miaka ya karibuni naona FIFA wanataka kutuaminisha kuwa ili uwe mchezaji bora ni lazima uwe na magoli mengi. Labda tusubir messi na ronaldo wapite huenda tuzo zitarudia hali yake.Hakika alistahili kabisa. Fifa wakamchinja baharini
Ok mkuu na uwepo wa Infantino labda anaweza akaleta changamoto mpya kwenye tuzo hiyo.Kwa miaka ya karibuni naona FIFA wanataka kutuaminisha kuwa ili uwe mchezaji bora ni lazima uwe na magoli mengi. Labda tusubir messi na ronaldo wapite huenda tuzo zitarudia hali yake.
FIFA wamemdhulumu huyu jamaa tuzo, kuna kipindi alikuwa kwenye peak ya upekee, alikuwa ndio uti wa mgongo waafanikio ya Barca na Spain lakini kwakuwa hakuwa anafunga magoli alionekana wa kawaida.Xavi Hernandez
Vipi kuhusu Manuel Neuer?Buffon