Wachezaji gani watatu wa kigeni wanapaswa kuachwa na Simba ili wabaki 10?

-Klabu ya Simba kesho inaingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wachezaji 28 ambao wataitumikia Simba msimu 2020/21.

Magolikipa
1-Aishi Manula
2-Beno Kakolanya
3-Ally Salim

Mabeki
4-Shomary Kapombe
5-David Kameta Duchu
6-Mohamed Hussein
7-Gadiel Michael
8-Erasto Nyoni
9-Pascal Wawa
10-Kennedy Juma
11-Ibrahim Ame
12-Joash Onyango

Viungo
13-Jonas Mkude
14-Gerson Fraga
15-Mzamiru Yassin
16-Hassan Dilunga
17-Said Ndemla
18-Clatous Chama
19-Fransis Kahata
20-Larry Bwalya
21-Miraji Athumani
22-Ibrahim Ajibu
23-Luis Miquissone
24-Benard Morrison

Washambuliaji
25-John Bocco
26-Meddie Kagere
27-Charles Alanfya
28-Chris Mugalu


*Kuna pahala nimeikuta. Ila hiyo kesho ni leo kwa kua ni taarifa ya Jana.
 

Hii inatakiwa kuhitimisha huu uzi maana ni hakika na kweli tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…