Wachezaji gani wenye kasi zaidi ligi kuu Vodacom?

Wachezaji gani wenye kasi zaidi ligi kuu Vodacom?

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Sio mbaya leo Tukiwajua wachezaji wenye kasi zaidi ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara.

Mfano pale Epl kuna Antonia Valencia,E.Hazard na huyu Ngolo Kante Anaweza kupiga kona na kuja kufunga mwenyewe.

Je kwetu hapa ni Wachezaji gani wenye Kasi zaidi??
 
Labda kwa kuhisi,maana hatuna statistics kwa sababu ya teknolojia duni.
 
Ramadhani Shiiza Kichuya na Jamal Simba Mnyate
 
Unamuacha Rahim sterling unamtaja kante. Kante Hana speed ya kutisha ila anakimbia karibu muda wote awapo uwanjani, anafika kila mahali na hachoki. Yeye ana pumzi
 
Kuna huyu kijana jina limenitoka kidogo yuko pale Simba ni hatari sana anaweza badilisha matokeo hata kama zimebaki sekunde.
5e5d546d259b0a91e6253198292ab8b5.jpg
 
Sio mbaya leo Tukiwajua wachezaji wenye kasi zaidi ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara.

Mfano pale Epl kuna Antonia Valencia,E.Hazard na huyu Ngolo Kante Anaweza kupiga kona na kuja kufunga mwenyewe.

Je kwetu hapa ni Wachezaji gani wenye Kasi zaidi??
Kante hana kasi bali ana pumzi tu
 
Bongo hakuna mpira bali kuna vikatuni tu na matokeo
 
Ukitaka kujua mchezaji mzuri wa kibongo ngoja acheze na timu za nchi nyingine....kituko
 
Back
Top Bottom