DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
BERNARD MORRISON ANA MATATIZO YA KIFAMILIA [emoji41]
Yanga kuwakosa watano kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mtibwa sugar.
1. [emoji1254] Khalid Aucho - Anasumbuliwa na maumivu ya misuli ya nyama za paja.
2. [emoji1078] Joyce Lomalisa - Aliumia kwenye mchezo dhidi ya Azam fc.
3. [emoji1078] Djuma Shabani - Malaria.
4. [emoji1241] Denis Nkane - Anauguza majeraha aliyoyapata kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Coastal Union.
5. [emoji1110] Bernard Morrison - Amepewa ruhusa kwenda nyumbani kwao kwa ajili ya kutatua matatizo ya kifamilia.
[emoji2399] Yanga App
YAANI JAMAA ASIENDE KULA SIKUKUU GHANA !!!!!AAAAAAH WEH
Yanga kuwakosa watano kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mtibwa sugar.
1. [emoji1254] Khalid Aucho - Anasumbuliwa na maumivu ya misuli ya nyama za paja.
2. [emoji1078] Joyce Lomalisa - Aliumia kwenye mchezo dhidi ya Azam fc.
3. [emoji1078] Djuma Shabani - Malaria.
4. [emoji1241] Denis Nkane - Anauguza majeraha aliyoyapata kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Coastal Union.
5. [emoji1110] Bernard Morrison - Amepewa ruhusa kwenda nyumbani kwao kwa ajili ya kutatua matatizo ya kifamilia.
[emoji2399] Yanga App
YAANI JAMAA ASIENDE KULA SIKUKUU GHANA !!!!!AAAAAAH WEH