kuna wachezaji wa mpira wa miguu wao dk 90 zote wamechomekea jezi zao kama vile mwanafunzi mtiifu anavyochomekea shati lake akiwa shuleni
Sio mbaya leo tukiwakumbuka wa zamani nawa Sasa wanaopenda kuchomekea jezi zao...
pale Uingereza kulikua na huyu Scot parker dk 90 zote kachomekea
John Terry
Cahil
Michael Carrick..etc