Wachezaji mahiri waliotamba katika Kariakoo derby

Kwa kizazi cha kuanzia 90's hakuna kama Kaseja na Okwi
 
Kaka ukisika Chama na Mogela, basi ni Athumani Juma Chama Jogoo, muda wote kama anaangalia juu
Huyo Bwana nakumbuka aliwahi kucheza na Mogella lakini kipindi hicho alikuwa akielekea ukingoni. Nakumbuka aliwahi kukabana na Mogella akapata majeraha ya kichwani. Morgan alifungwa bandeji kichwani. Sijui kama kulikuwa na mechi nyingine katika kumbukumbu zangu iliowakutanisha wawili hao.
 
Hussein Masha ,George Masatu,Mohamedi Mwameja,Edward Chumila,Malota Soma enzi hizo Simba ikifungwa sili chakula.
 
Athuman Machupa,Ulimboka Makingwe,Victor Costa "jumba kubwa",Christopher Alex Massawe,Suleiman Matola,Emanuel Gabriel,Boniface Pawasa.Juma Kaseja,dah,raha sana.
 
Mohamed mwameja
Shehan Rashidi
Max lengo
Steeven mapunda Garincha
Joseph kaniki kumba kumba
Emmanuel Gabriel
Madaraka suleiman
Dua said
Suleiman matola
Georgy masato
Pawasa


Simba noma sana piga yanga goli 3 warudi kigamboni maana mambo ya uturuki yamekufa
 
Mi nitawaletea kikosi cha simba kilichocheza na yanga kwenye kariakoo derby iliyochezwa Nyamagana Mwanza 1974. Wachezaji hawa nimewakumbuka kwasababu 2, kwanza hiyo ndiyo derby iliyoacha simuliza nyingi karne iliyopita na mpaka sasa.pili wengi wa wachezaji hawa ndiyo waliifunga mehalla el kubra ya misri uwanja wa taifa sasa Uhuru. 1. Athumani Mambosasa 2.Shaaban Baraza. 3. Mohamed Kajole. 4.Athumani Juma. 5.Aloo Mwitu. 6. Khalid Abeid. 7. Willy Mwaijibe. 8. Haidar Abeid 9. Adam Sabu. 10. Abdallah Kibaden. 11. Saad Ali. Sub. 12.Hassan Mlapakolo. 13. Omar Choggo. 14.Omar Gumbo. 15. Omar Dilunga
 

Mark Sirengo siyo Max
 
Katika misimu tofauti
Hussein Masha
George Masatu
Nteze John
Alfonce Modest
Juma Amir Maftaa

Muhammed Hussein Daima
Said Mwamba Kizota
Sekilojo Chambua
Abdi Kassim Babii
Nonda Shaban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…