choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
- Thread starter
-
- #21
Nilisema1. Kibu Denis
2.Saido Ntibazonkiza
3. Chemalone
4. Henock Inonga
5. Onana
6. Zimbwe
7.Mzamiru
Chama naye anaelekea huko.
Tatizo la simba ni lile genge nyuma ya uongozi1. Kibu Denis
2.Saido Ntibazonkiza
3. Chemalone
4. Henock Inonga
5. Onana
6. Zimbwe
7.Mzamiru
Chama naye anaelekea huko.
Tulijua litatokea hiliMmeanza. Hapa mnaandaa mazingira ya kuwatimua mkifungwa tarehe 5 Novemba 2023
Scout ya Simba inabidi ijitafakari upya kuwa inakosea wapi.Tatizo la simba ni lile genge nyuma ya uongozi
Wanajiita marafiki wa Simba
Haikosei si mnakaaga uwanja wa ndege kuiba wachezaji wanaokuja kwa ajili ya Yanga, basi endeleeni hivyohivyo.Scout ya Simba inabidi ijitafakari upya kuwa inakosea wapi.
Hakuna mchezaji aliyeibiwa uwanja wa ndegeHaikosei si mnakaaga uwanja wa ndege kuiba wachezaji wanaokuja kwa ajili ya Yanga, basi endeleeni hivyohivyo.
Mgeni rawmi nae yumo ?1. Kibu Denis
2.Saido Ntibazonkiza
3. Chemalone
4. Henock Inonga
5. Onana
6. Zimbwe
7.Mzamiru
Chama naye anaelekea huko.
YumoMgeni rawmi nae yumo ?
Niliwambia lakini wanathimbaa..🤣Jaribuni kuplan rotation nzuri ya wachezaji kung'ang'ana na wachezaji flani lazima waanze aka first eleven never change itawagharim..eti lazima kibu aanze Kila game. Subirin trh 5 tunajipigia TU🤣
...bado HUJASEMA, angalia post yako ulisemaje kuhusu kushinda tarehe 05 Nov...yaani hadi MSEME haaa haaa haaaNilisema
Waliamua kudhihirisha ubovu wao 100%, hawa hata aje Guardiola hawabadilishi...bado HUJASEMA, angalia post yako ulisemaje kuhusu kushinda tarehe 05 Nov...yaani hadi MSEME haaa haaa haaaView attachment 2805885
Habari za siku nduguKelele zote hizi zitaisha baada ya derby ya jumapili
Ndio mtajua hamjui
Simba guvu moya
Kichwa kina makali upanga ukasomekama
Kanoute
ilifika mahali akawa anakimbia na kichwa