Wachezaji Raia wa Kigeni Waliopewa Uraia wa Tanzania Wana Maslahi gani kwenye Soka Letu?

Wachezaji Raia wa Kigeni Waliopewa Uraia wa Tanzania Wana Maslahi gani kwenye Soka Letu?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687

View: https://www.instagram.com/p/DFLD6mztR0c/?igsh=dGl4M2Fvd2E2a3dx
Screenshot 2025-01-23 194000.png

Soma: Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni

View: https://www.instagram.com/p/DFK-2IOuHUj/?igsh=MWV6dDJkYnFmaDViZA==
 
Mambo ya Banana Republic haya!

Vimemo vimetembea kukidhi kanuni ya idadi ya wachezaji wa kigeni.

"Magarasa" tupu hayo si ajabu wameshinikizwa na watarudi kwenye uraia wao wa awali wakitemwa.

Ni soka letu kivyetuvyetu.
 
Guinea, Ghana na Ivory coast hawalipwi km wanavyolipwa hapa ndio maana wamefika hatua kuvua hata uraia wao ili walambe pesa za kutosha kuvimba mjini
 
Mambo ya Banana Republic haya!

Vimemo vimetembea kukidhi kanuni ya idadi ya wachezaji wa kigeni.

"Magarasa" tupu hayo si ajabu wameshinikizwa na watarudi kwenye uraia wao wa awali wakitemwa.

Ni soka letu kivyetuvyetu.
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom