ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwa nini?Kile kifungu cha kuwa muombaji uraia awe ameishi nchini miaka 10 hakiwahusu hawa jamaa.
Tuna maslahi gani nao?Guinea, Ghana na Ivory coast hawalipwi km wanavyolipwa hapa ndio maana wamefika hatua kuvua hata uraia wao ili walambe pesa za kutosha kuvimba mjini
Inasikitisha sanaMambo ya Banana Republic haya!
Vimemo vimetembea kukidhi kanuni ya idadi ya wachezaji wa kigeni.
"Magarasa" tupu hayo si ajabu wameshinikizwa na watarudi kwenye uraia wao wa awali wakitemwa.
Ni soka letu kivyetuvyetu.
Wao hawaangalii maslahi yenu wanaangalia maslahi yaoTuna maslahi gani nao?
Inasikitisha sanaWao hawaangalii maslahi yenu wanaangalia maslahi yao
Sema danganyikaTanganyika imelala
Nchi hii ina matatizo makubwa sana.