Wachezaji Simba SC wapewa semina elekezi kabla ya kupaa A.Kusini

Big up mipango thabiti Sana tutafika mbal
 
Hao waliochagua kambi iwe SA wakati wakijua kule miezi hii ni ya baridi wamewaza nn? Wanajua kabisa kuwa hali ya hewa ya maeneo mengi Tz ni joto.
 
Hao waliochagua kambi iwe SA wakati wakijua kule miezi hii ni ya baridi wamewaza nn? Wanajua kabisa kuwa hali ya hewa ya maeneo mengi Tz ni joto.
Yani hiyo ndo Target yao kucheza mazingira ya baridi kwani, wachezaji walipata tabu Sana wakati wanaenda kucheza na Timu za kiarabu kipindi kile Cha makundi kwani kipindi kile uarabuni kulikua na baridi.
 
Taifa gas+GSM+Sport pesa...hamuwezi kuchukua ubingwa msimu mpya..Bashite kawabeba misimu miwili kuhusu Yusuf...Tunaenda kutangaza ubingwa usubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…