kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 914
yanga wameitwa 8 ila hatupendi kutangaza tangaza ovyo
yanga wameitwa 8 ila hatupendi kutangaza tangaza ovyo
Ni kweli wazee wale.. Yanga mbona hata sisi wameitwa?morison naye kaitwa?? eti na kagere na na yule babu wa Kenya, mikia kweli na genge la mambumbu na vilaza
Bado na wa hapa Bongo.1.Kagere-Rwanda
2.Bwalya-Zambia
3.Chama-Zambia
4.Josh-Kenya
5.Kahata-Kenya
6.Louis-Mozambique
Huyo unaemuita babu ukimchanganya na vile vivulana vya chura vitakimbia sanamorison naye kaitwa?? eti na kagere na na yule babu wa Kenya, mikia kweli na genge la mambumbu na vilaza
Huyo unaemuita babu ukimchanganya na vile vivulana vya chura vitakimbia sana
Muwe mnaangalia na nchi zenyewe walipotoka hao wachezaji.
Muwe mnaangalia na nchi zenyewe walipotoka hao wachezaji.
Kwani Simba inawachezaji sita tu wakigeni? Kama ina zaidi ya wachezaji sita kwanini hao waliobakia hawajaitwa? Je ni makapi au vipiWachezaji sita wa Simba wa kimataifa wameitwa kwenye timu zao za Taifa. Wachezaji wa Yanga imekuwaje hata hawachezei timu zao za Taifa. Hii ina maana gani kwa soka la Bongo? Wamenunua makapi au bado hawajakomaa, wataitwa wakikomaa au Yanga wamenunua mizigo!!!
Ndyaragije ungemsikia jana alivyomzungumzia Carlos.Calinyo hata angekuwa katokea Nchi ya Kenya au Tanzania asingeweza kumuweka benchi kahata au Bocco.Hata Bongo asingeitwa Timu ya Taifa.Labda kwenye maonyesho ya mavazi kwa Vunja Bei
Fraga majeruhi, Mugalu hayupo fiti, wawa kajiuzulu timu ya taifa na Morison hayupo fitKwani Simba inawachezaji sita tu wakigeni? Kama ina zaidi ya wachezaji sita kwanini hao waliobakia hawajaitwa? Je ni makapi au vipi
Wewe ndio daktari wa timu zao za taifa? Morrison na Mugalu wamecheza jana mechi ya kirafiki halafu wewe unasema hawako fiti kivipi?Fraga majeruhi, Mugalu hayupo fiti, wawa kajiuzulu timu ya taifa na Morison hayupo fit