Life isn't fair mi nawaza nijichange miaka mitano ijayo ninunue hata ka gari ka mil5 kwa mtu.
Wakati huo huo Tena dunia hii hi kuna nyumbu wanalipwa π· 118mil
π€π€π€π€π€π€
Fuuck life.
Namjua sana mkuu, si yule anaejiangusha na kuzikimbia tough games za uefa! Sasa huyo bishoo utamlinganisha na mbappe kweli? Au Sterling? Hata takwimu zinajionyesha zenyewe.