Wachezaji Stars kupiga msosi Ikulu leo na JPM

Wachezaji Stars kupiga msosi Ikulu leo na JPM

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
Wachezaji wa timu ya Taifa(Taifa Stairs) waalikwa Ikulu jijini Dar leo Oktoba 19 kukutana na Rais Magufuli

FB_IMG_1539933687689.jpg
 
Matukio gongana kama sio matukio gonganishwa, kule press IGP huku taifa stars ndani ya jumba jeupe.
 
Stars wanaanza kujitia 'gungu' sasa!
 
Back
Top Bottom