wanaona rahaaa kupigwa vinne bado wanasaka ubingwa wakakutane na bwana laoHivi.kwnn hamkomi tu?kila mwaka mkikutana na mwarabu mnakula 4 G...hvi mnaona raha gani kupasuliwa marinda na muarabu kila mwaka?nyie PEREGE FC. Au ndy tuseme mshakuwa SUGU?
Mechi ya Kagera Sugar na African Lyon ndiyo inayoleta utata kwa sababu ndiyo inayo mhukumu mchezaji huka kwamba ndiyo ilikuwa mechi ya tatu mfululizo anaoneshwa kadi ya njano.
Mechi hiyo hiyo ndio Kagera wanasema mchezaji hakuoneshwa kadi lakini wanakubali kuwa kabla ya mechi hiyo ni kweli alikuwa na kadi mbili za njano.
Mechi hiyo haikuoneshwa na Azam TV wala haikurekodiwa,Kwa upande wao Kagera Sugar wanasema kwenye rekodi zao hakuna hiyo kadi inayolalamikiwa na Simba.
Kwa utafiti uliofanywa na Shaffih Daudi kwa baadhi ya wachezaji wa African Lyon waliocheza mechi dhidi ya Kagera Sugar wanasema hawakuona tukio lolote alilofanya Mohamed Fakhi lililopelekea kuoneshwa kadi ya njano na hawakuona mwamuzi akimuonesha Fakhi kadi ya njano.
samba kama mnataka ubinga si mngewafunga kagera na toto timu mbovu mnataka ushindi wa mezaniNimekuuliza matokeo ya YANGA HUKO algeria.. Unanitumia watu watatu..nikajuwa umeamua kutumia ishara y watatu..kama magoli matatu
..ndy nijuwe kafungwa nani?maana ukiona mtu anamuacha mumewe na njaa sababu ya kwenda kwenye ngoma ya jirani tena wala hajaalikwa..ujuwe huyo mke ni tatizo...mechi zenu zinawashinda..mnakimbilia kushadadia mambo ya MNYAMA..mpo radhi mgharamie nauli na gharama za rufaa kwa kagera..mradi tu MUMJAMBISHE MNYAMA.....gharama zote hizo unazotumia kwa ajili ya kuhakimisha kagera anapata points..si ungezielekeza japo Kutoa matope pale kwenye DIMBWI LA KAMBALE. Pale jangwani....ktk uwanja wenu....mkuu jaribu kuwapa ushauri viongozi wa 4G FC...
Ndy matokeo ya kukata viuno sherehe ya jirani..sherehe yako inakushinda.....mnapambana kabisa mkafumuliwe marinda na muarabu mwakani...na hakuna muarabu anayekupiga 2... Ni 3 G kwenda mbele. 4 G..Simba walipigwa na libolo 5g mnataka mshinde mwende wapi nyie vidomodomo na kiroho papo. Nyie wakufungwa na kagera, toto.,Mbao fc figisu ndo saizi yenu.
Hapo ni mubasharaHadi sasa point 3 zilizopewa simba tayari zimesharudishiwa kagera sukari
Namshangaa sana Shafii Dauda. Sasa hivi ni kiongozi wa soka na sio shabiki wa mpira. Badala ya kufanya ufuatiliaji makini wa taarifa kama hiyo yeye analeta ushabiki maandazi. Hebu jiulize Ripoti ya Kamisaa na Ripoti ya Refa zote zipo mikononi mwa wahusika tokea mechi ilipochezwa. Leo anaibuka mtu na viroja na sio hoja anataka watu waamini kile asemacho ili kutengeneza futbolifitna. Pole sana atafute wa kudanganya.
Tuweke akiba ya manenoShafii Dauda ni mikia mwenzenu, ukiona hadi ameshindwa kudanganya basi nafsi inamsuta.
Hakuna ubingwa wa mezani chezeni mpira matokeo yanapatikana uwanjani na si mezani.
Simba kashinda Tabora kamfunga Rhino mbili bila..mmepata points tatu na magoli mawiliKama kuna mwenye matokeo ya YANGA HUKO algeria naomba mnijuze wakuu.....maana aibu yetu wote hii
Hapa kuna habari isiyopendwa kusikikaShafii namfaham ni mdau wa simba bila kificho. Ila huyu jamaa hana ushabiki maandazi, wewe fatilia vipindi vyake cloud utathibitisha hilo hususan kwenye mijadala ya ubabaishaji ya simba na yanga kama hii. Ila simba inataka iwe mvua iwe jua lazima wapate ubingwa mwaka huu ila haitawezekana kwa maarifa haya ya kishamba.
Huna akili wewe kama kitu hujui uliza unabishana na mdau
Hili halina akiba ya maneno soka linachezwa uwanjani na si vinginevyo. Inashangaza leo watu na akili zao wanashabikia upuuzi wa point za mezani.
Shaffih ana kisirani bado alipigwa chini kuwa mjumbe simbani!Shafii Dauda ni mikia mwenzenu, ukiona hadi ameshindwa kudanganya basi nafsi inamsuta.
Hakuna ubingwa wa mezani chezeni mpira matokeo yanapatikana uwanjani na si mezani.
Daaaah.... Kweli hii ni Tanzania....
Ina maana siku hizi Simba imechoka kiasi hicho cha kufikia hatua ya kulilia point za mezani? Haki ya nani mpira wa bongo unashuka hadhi,, yaani hawa ndo tuwatume wakatuwakilishe ughaibuni kwa mtindo huu? Hebu chezeni mpira bwana!!Hivi wanaodai hizo points ni kagera kweli au PEREGE FC?haiingii akilini...hao kagera wadai points wao wanataka UBINGWA?AU WANASHUKA DARAJA?yote KAMBARE FC hao....ndy maana mnakula 4 G sababu ya kufuatilia ya watu