Wachezaji wa Gor Mahia wampiga mwamuzi Zambia

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Hawaa ndio wakenya ambao miaka mingi hulalamika na kuilaumu Tanzania kwa kila kitu.

Wakenya miaka yote hujiona wao wapo sahihi na waafrika wengine wote hawapo sahihi, kwamba wakenya wanaonewa Mara zote.
 
Kenya si nchi ya one sport
Ambayoi pia Ni duni kwenu.
 

Hawaa ndio wakenya ambao miaka mingi hulalamika na kuilaumu Tanzania kwa kila kitu.

Wakenya miaka yote hujiona wao wapo sahihi na waafrika wengine wote hawapo sahihi, kwamba wakenya wanaonewa Mara zote.
sijaona walipompiga labda tuelezee vizuri
 
Soka la kenya limeporomoka halina mvuto wowote raia wake wanashabikia timu za Tanzania hasa simba na yanga na wachezajiwao bora wanatamani kucheza tanzania
Soka la kenya limeporomoka halina mvuto wowote raia wake wanashabikia timu za Tanzania hasa simba na yanga na wachezajiwao bora wanatamani kucheza tanzania
21st century nani anacheza soka,
Mybe watoto wa ghetto's
 
Soka la kenya limeporomoka halina mvuto wowote raia wake wanashabikia timu za Tanzania hasa simba na yanga na wachezajiwao bora wanatamani kucheza tanzania
Ni kama naishi ulaya maanake sijawai kutaka na shabiki was Yanga au Simba hapa Kenya. Najua Kubai wa Chelsea, Manchester United, Arsenal, Liverpool, Tottenham na Man City lakini Simba ni kicheko.🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…