joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
sijaona walipompiga labda tuelezee vizuri
Hawaa ndio wakenya ambao miaka mingi hulalamika na kuilaumu Tanzania kwa kila kitu.
Wakenya miaka yote hujiona wao wapo sahihi na waafrika wengine wote hawapo sahihi, kwamba wakenya wanaonewa Mara zote.
Fujo na kumpiga mwamuzi pia ni sport huko Kenya?.Kenya si nchi ya one sport
Ambayoi pia Ni duni kwenu.
Naskia wakimbiaji wao wamekataa kwenda kili marathon kisa koronaFujo na kumpiga mwamuzi pia ni sport huko Kenya?.
Hii movement haikubaliki ktk soka walimzonga refa KITUO. Hapa Africa tupo hivyo ni nadra sana kwa wenzetusijaona walipompiga labda tuelezee vizuri
Naskia wakimbiaji wao wamekataa kwenda kili marathon kisa korona
Soka la kenya limeporomoka halina mvuto wowote raia wake wanashabikia timu za Tanzania hasa simba na yanga na wachezajiwao bora wanatamani kucheza tanzania
21st century nani anacheza soka,Soka la kenya limeporomoka halina mvuto wowote raia wake wanashabikia timu za Tanzania hasa simba na yanga na wachezajiwao bora wanatamani kucheza tanzania
Kama refa anazingua lazima afunzwe adabu.
Ni kama naishi ulaya maanake sijawai kutaka na shabiki was Yanga au Simba hapa Kenya. Najua Kubai wa Chelsea, Manchester United, Arsenal, Liverpool, Tottenham na Man City lakini Simba ni kicheko.π€£π€£π€£Soka la kenya limeporomoka halina mvuto wowote raia wake wanashabikia timu za Tanzania hasa simba na yanga na wachezajiwao bora wanatamani kucheza tanzania