Wewe jama unakumbukumbu nzuri sana kati ya wachezaji huyu jamaa alikuwa kiboko yao ni kwasababu walicheza zama za kujitolea zaidi kuliko sasa hiviCostantine Kimanda
George weah amecheza timu gani bongo?Mmemsahau, William fanbula Double striker na George Opong Weah timu ya taifa ya Liberia.
George weah amecheza timu gani bongo?
Kaisaidia yanga kushinda nini?Kamusouko ni habari nyingine..
kumshinda ndani nje mnyama.Kaisaidia yanga kushinda nini?