Wachezaji wa kigeni waliotamba ligi kuu ya bongo

Daniel Akuffor
Dan Serrunkuma
Jama Mba
Gelson Jaja
Hii ni orodha ya wachezaji wa kigeni ambao kwangu nawaona ni Magarasa wa kutupwa.
 
Doye moki ,chidebere,
Malindi zenzji alikuwepo malitoli toka Zambia
Wale Wa Bulgaria wawili nimesahau jina
 
william fanbullah, alikuwa Simba miaka ya 1998 hivi,pale Jamhuri Stadium Dodoma mechi za ligi ya muungano nakumbuka pale wanacheza na Mlandege enzi za kina Mohammed bahabesh
 
Patrick Katalay
Isaac Boakye
Kabongo Honore(winga teleza)
Pitchou Kongo
Orji Obinna
Emeh Ezechukwu
John Njoroge
Joseph Shikokoti!😀
 
George weah amecheza timu gani bongo?

Sijui kama umeielewa statement yangu. Nimesema, Wolliam fanbullah. Kuongezea kumbukumbu kwa wadau, Nikarefer national team alikuwa anacheza na mtu gani.
 
patrick mafisango, emannuel okwi, mark serengo ..
 
Ngandou Ramadhan - Yanga
Constantine Kimanda - Yanga
Mordon Malitoli - Malindi
Patrick Katalay - Yanga
Pitchou Kongo - Yanga
Baldwin Nawasis - Yanga
Julian Albertov - Malindi
Mackenzie Ramadhan - Yanga
Banza Tshikalla - Yanga
Damian Morisho Kimti - Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…