Multdealer
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 226
- 232
Habari,
Jana nilikuwa nafuatilia hafla fupi ya miaka miwili ya uongozi wa TFF chini ya Rais Wallace, mengi yalizungumzwa ila kuna jambo moja mimi binafsi sijakubaliana nalo jambo lenyewe ni hii dhana:
Yakwamba wachezaji wa kigeni ni lazima wacheze timu za taifa wanapo toka na pia idadi ya wachezaji hao ipunguzwe,wakati huo huo sisi tunapiga debe wa kwetu watoke waende kwa wenzetu.
Sasa na nchi za wenzetu wakiweka vigezo hivyo ina maana kuna wachezaji wengi wa Tanzania watakosa nafasi ya kupata exposure nchi nyingine.
Kwa mfano, Highland itamtema Banda, wakina Emily Mgeta watatemwa huko Ujerumani na wengine wengi ambao wapo nje.
Mimi ninachoona wachezaji wakigeni waje tu, atakaye shindwa kuendana na kasi ya ligi ataonekana na ataachwa na klabu husika.
Jana nilikuwa nafuatilia hafla fupi ya miaka miwili ya uongozi wa TFF chini ya Rais Wallace, mengi yalizungumzwa ila kuna jambo moja mimi binafsi sijakubaliana nalo jambo lenyewe ni hii dhana:
Yakwamba wachezaji wa kigeni ni lazima wacheze timu za taifa wanapo toka na pia idadi ya wachezaji hao ipunguzwe,wakati huo huo sisi tunapiga debe wa kwetu watoke waende kwa wenzetu.
Sasa na nchi za wenzetu wakiweka vigezo hivyo ina maana kuna wachezaji wengi wa Tanzania watakosa nafasi ya kupata exposure nchi nyingine.
Kwa mfano, Highland itamtema Banda, wakina Emily Mgeta watatemwa huko Ujerumani na wengine wengi ambao wapo nje.
Mimi ninachoona wachezaji wakigeni waje tu, atakaye shindwa kuendana na kasi ya ligi ataonekana na ataachwa na klabu husika.