mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
"Nilipanga kujizawadia Ferrari na Rolls-Royce, sina budi kuweka mpango huu kapuni kwa sasa na kuelekeza fedha zaidi katika klabu yetu ya @SimbaSCTanzania . Furaha ya @SimbaSCTanzania ni muhimu kuliko starehe yangu. Simba kwanza!" _ Mo
My Take.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tajiri namba ngapi Africa sijui, na unawaza kujinunulia gari, ukiulizwa kwanini, unaitaja SimbaSC
Wewe si ndo unatajwa Forbes una hela wewe?Mbona unajikuta unaifanyia hisani SimbaSC wewe?
Si ulikuwa na team yako wewe?si uende ukapate furaha huko?
Boss Mbuzi[emoji706][emoji706][emoji706]
Mr mkiki.
My Take.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tajiri namba ngapi Africa sijui, na unawaza kujinunulia gari, ukiulizwa kwanini, unaitaja SimbaSC
Wewe si ndo unatajwa Forbes una hela wewe?Mbona unajikuta unaifanyia hisani SimbaSC wewe?
Si ulikuwa na team yako wewe?si uende ukapate furaha huko?
Boss Mbuzi[emoji706][emoji706][emoji706]
Mr mkiki.