Nina uwakika wanaume 1000 wakipangwa kwa mstari ulionyooka nina uwezo wa kuwachagua washabiki wa yanga na Simba katika wanaume 1000,kwa kuangalia tuKwanjni
Kwani ni uongo
Manula na Hussein wamefanya nn jana
Tena km Manulaa na shabalala wananangwa kila kukichaa ila wakiitwa wamo tyuuh, kwann wasikatae ebooohTumeanza lawama za kijinga. Mimi ningekuwa Manula na Tshabalala ningewaachia litimu lenu la kijinga. Stupid. Sijui kwanini na wenyewe wanakubali kuingia kwenye timu ya majungu.
Wife naye anasema hivi hivi. Nikawaza wanawake na mpira wapi na wapi. Mimi mwanayanga na wife ni kama weweManula, Mohammed Hussein wameiangusha timu ya Taifa jana, Mohammed Hussein jana alikuwa ni UCHOCHORO wa Morocco, makosa ya Manula ya kutoona vema yameigharimu timu.
Hata jana sababu ya DRC kutoa suluhu ni beki wa SSC, Inonga kushindwa kuwajibika.
Wachezaji wa SSC ni mzigo na wanagharimu timu za taifa, Hata ZAMBIA, Chama ameonekana kuwa mzigo kwenye timu ya taifa, na hakuwa kwenye first eleven
Nashauri kocha ashauriwe kuwa wachezaji wa SSC wote wakae bench, vinginevyo watazidi kugharimu taifa.
Chama nae kukaa bench ndo sababu ya Zambia kutoa sare hahahaaaaaaa kwel wachezaj wa Simba ni mzigoManula, Mohammed Hussein wameiangusha timu ya Taifa jana, Mohammed Hussein jana alikuwa ni UCHOCHORO wa Morocco, makosa ya Manula ya kutoona vema yameigharimu timu.
Hata jana sababu ya DRC kutoa suluhu ni beki wa SSC, Inonga kushindwa kuwajibika.
Wachezaji wa SSC ni mzigo na wanagharimu timu za taifa, Hata ZAMBIA, Chama ameonekana kuwa mzigo kwenye timu ya taifa, na hakuwa kwenye first eleven
Nashauri kocha ashauriwe kuwa wachezaji wa SSC wote wakae bench, vinginevyo watazidi kugharimu taifa.
ukiwatoa hao ndo utawafunga Morocco , unafiki ndo utatufanya tubakie hapa tulipo , hatukufunga goli hata moja ila unaenda walaumu walindaji pekee, kwan mlienda kulinda tu kule ?hata mm nashangaa kwanini wanaendelea kuwapanga hao wachezaji
Ni upumbavu wa Hal ya juu
Ndo mumuambie kocha wa starz, awachukue wa yanga tyuuhJe ni kweli au sio kweli
Mbona players wa Yanga hawanangwi
Na hajuiWewe ni ZOMBIE...
Anataka uroda toka kwa mleta madaUnafanya nn nyuma ya mwenzio?
..Manula, Mohammed Hussein wameiangusha timu ya Taifa jana, Mohammed Hussein jana alikuwa ni UCHOCHORO wa Morocco, makosa ya Manula ya kutoona vema yameigharimu timu.
Hata jana sababu ya DRC kutoa suluhu ni beki wa SSC, Inonga kushindwa kuwajibika.
Wachezaji wa SSC ni mzigo na wanagharimu timu za taifa, Hata ZAMBIA, Chama ameonekana kuwa mzigo kwenye timu ya taifa, na hakuwa kwenye first eleven
Nashauri kocha ashauriwe kuwa wachezaji wa SSC wote wakae bench, vinginevyo watazidi kugharimu taifa.
Huyo jamaa sio ni majeruhiYaani mimi nilijua tu, hawa wachezaji wanaokaa benchi wote mzigo ndio maana hawapo first eleven.
Yaani promise ihenacho ni mzigo pale nigeria ndio maana hayupo first eleven.
Na hajachezeshwa lwo
Unafanya niniMtoa mada mimi niko nyuma yako.
Nakubaliana na wewe. Kwa mfano Manula aliruhusu mabao mawili ya kizembe ndiyo maana tukawa wa nne; huenda tungekuwa wa tatu.Manula, Mohammed Hussein wameiangusha timu ya Taifa jana, Mohammed Hussein jana alikuwa ni UCHOCHORO wa Morocco, makosa ya Manula ya kutoona vema yameigharimu timu.
Hata jana sababu ya DRC kutoa suluhu ni beki wa SSC, Inonga kushindwa kuwajibika.
Wachezaji wa SSC ni mzigo na wanagharimu timu za taifa, Hata ZAMBIA, Chama ameonekana kuwa mzigo kwenye timu ya taifa, na hakuwa kwenye first eleven
Nashauri kocha ashauriwe kuwa wachezaji wa SSC wote wakae bench, vinginevyo watazidi kugharimu taifa.