Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Imekuuma??,pole Sana Mkuu.Pambaneni na hali yenu.Hiyo Take yako ni ya Kijinga na upumbavu, kwani lazima uitaje Yanga? Hamna Team nyingine tofauti na Yanga? Jiheshimu na uache kufatiria Team ambayo haikuhusu.
Dah, vumilia tu mkuu .. pamoja na kwamba sindano inauma!Hiyo Take yako ni ya Kijinga na upumbavu, kwani lazima uitaje Yanga? Hamna Team nyingine tofauti na Yanga? Jiheshimu na uache kufatiria Team ambayo haikuhusu.
Hapo ndo wanaharibu ...ni kauli kama hizo zimepelekea watu wengi kuichukia Starz,...Nanukuu' "ushindi wa bao 1-0 walioupata Simba dhidi ya AS Vita unatokana na Tanzania kuwa katika uchumi wa kati."
Karibu tembelea kidimbwi!!! Utopolo katika ubora wake!Hiyo Take yako ni ya Kijinga na upumbavu, kwani lazima uitaje Yanga? Hamna Team nyingine tofauti na Yanga? Jiheshimu na uache kufatiria Team ambayo haikuhusu.
Heeee,heee,heee!!Hiyo Take yako ni ya Kijinga na upumbavu, kwani lazima uitaje Yanga? Hamna Team nyingine tofauti na Yanga? Jiheshimu na uache kufatiria Team ambayo haikuhusu.
Unaumia ukiwa wapi wewe topolany?Hiyo Take yako ni ya Kijinga na upumbavu, kwani lazima uitaje Yanga? Hamna Team nyingine tofauti na Yanga? Jiheshimu na uache kufatiria Team ambayo haikuhusu.
Hapo ndo wanaharibu ...ni kauli kama hizo zimepelekea watu wengi kuichukia Starz,...
Sasa baada ya kuona stars haina mwelekeo wamegeukia Simba....kwa kauli hizi za kisiasa watawaharibia Simba muda si mrefu
Wengine wamepanic wanatembea wanaongea peke yao,ukiwasemesha kidogo wanakujibu kwa ukali utadhani Kuna ugomvi.Hee....sasa hivi mashabiki wa Yanga ni kama petrol imeegeshwa karibu na moto, upepo kidogo ukitokea wamelipuka....!
Kabisa mkuu,ulinzi muhimu sana.Heeee,heee,heee!!
Jeshi la polisi mashabiki wa Simba tunaomba ulinzi.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji119]Raha ilioje tunaondoka kifua mbele ugenini SIMBA NGUVU MOJA
Imekuuma na kukupwelepwetaaa.Hovyoo! ....
Mbona mlivyosifiwa ninyi haukusema maneno haya?.Ee Bwana karoho kanakuuma eennhh???.Jikaze Mzee.Hapo ndo wanaharibu ...ni kauli kama hizo zimepelekea watu wengi kuichukia Starz,...
Sasa baada ya kuona stars haina mwelekeo wamegeukia Simba....kwa kauli hizi za kisiasa watawaharibia Simba muda si mrefu
Hakika atulie tuuu!!!!, Maana sindano inaweza kuvunjika.Dah, vumilia tu mkuu .. pamoja na kwamba sindano inauma!