Wachezaji wa Simba wanaopaswa kuachwa kwenye Dirisha la Usajili


Duuh sawa mkuu, tunaheshimu mawazo yako
 
Unavuta bangi mkuu??
 
Unaondoa luis na chama
Unaacha
Shamte
Rashid
Mzamiru , taurine, dilunga na kichuya
 
Wewe ni utopolo mkubwa,wachezaji wazuri kwenye timu nzima ndo unawaona hawafai hadi chama?serious ,ingawa ni uhuru wako kutoa maoni ungekuwa kwenye kikao unafaa ukatwe makofi ukae uwasikilize wenzako
 
Ukiangalia hao viwango vyao viko chini simba lakini wakipangwa hivo hivo ligi kuu kama timu nyingine bado watasumbua
1. Haruna Shamte
2. Yusuf Mlipili
3. Tairone Santos
4. Gerson Fraga
5. Said Ndemla
6. Sharaf Shiboub
7. Deo Kanda
8. Rashid Juma
9. Kennedy Wilson
10.Francis Kahata
11. Ajib
 
Wewe ni utopolo mkubwa,wachezaji wazuri kwenye timu nzima ndo unawaona hawafai hadi chama?serious ,ingawa ni uhuru wako kutoa maoni ungekuwa kwenye kikao unafaa ukatwe makofi ukae uwasikilize wenzako
Hakuna wachezaji hapo we kwa akili yako unaona watatufaa hao kwenye klabu bingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…