Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo bhana kwa kufata mkumbo hapa nyumban yanatushinda af tunafata ya marekan
Mi ni Simba ila sikubaliani na huu unafiki, Lisu amepigwa risasi hadharani hakuna aliyefanya hivyo.Wachezaji wa Simba wakiwa wamepiga magoti na kutengeneza herufi IM ikiwa ni ishara ya kulaani mauaji ya kijana Mmarekani mweusi, George Floyd aliyeuawa wiki iliyopita na askari wa kimarekani.
R.I.P George![]()
Tunaona yule mweusi wa marekani ndiyo bora zaidi kuliko waafrika wenzetu wanaoteswa na askari wetu wa kiafrika na tawala za kiafrika.Wachezaji wa Simba wakiwa wamepiga magoti na kutengeneza herufi IM ikiwa ni ishara ya kulaani mauaji ya kijana Mmarekani mweusi, George Floyd aliyeuawa wiki iliyopita na askari wa kimarekani.
R.I.P George![]()
Naona kama unawananga Lumumba 😁Subirini Haji aje na kusema Simba ni timu ya kwanza Tanzania kama si Africa Mashariki na Kati kufanya hivyo. Anapenda sana record kama hizi za Pwagu na Pwaguzi.
Humo humo Kiongozi.Naona kama unawananga Lumumba 😁