Wachezaji wa utopolo hawapo pamoja na Feitoto,hapo ndipo unyanyasaji wao unaweza pata nguvu

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kifupi kwa sasa watu pekee wanaoweza kumtetea mchezaji mwenzao kwa vitendo ni wachezaji wa utopolo.

Hata hivyo hakuna dalili ya wachezaji hao kufanya chochote kumsaidia.Ni sawa na nyati wanaemtelekeza nyati mwenzao aliyekamatwa na Simba mmoja.

Hata hivyo wanayo sababu ya kuwa wabinafsi. Maana kila mtu atapambana kivyake.
 
Wanajua ujinga aliofanya.
Unataka wasimame naye kwenye ujinga wake.
 
Kipindi Babu Onyango ana mgogoro na timu yake kina Inonga walijiunga nae? Mzee Rage popote ulipo shikamoo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
[emoji706]
 
Kwani huyu anawashutumu wachezaji wa kigeni!wakatwe fedha apewe yeye akamsaidie mamake na shangazi zake kulea yatima.yanga imesajili Wachezaji professional itikadi za kibepari wanajali kazi.ndio maana kila mmoja anaheshimu mkataba wake.Mayele amefunga kuliko Aziz ki+Morrison hakuna malalamiko Hawa wanalipwa zaidi.unafanya kazi Bora unajadiliana na klabu.
Sasa hamtaki CAS mnataka huruma ya wachezaji wa yanga.pumbavu jemedari
 
hakuna mchezaji mwenye akili atamuunga mkono fei
 
Walipoona wanawalipa vijana hela ndogo licha ya kazi kubwa waliyofanya wakaamua wamalizane na Dickson job kimya kimya.
 
Asante Jemadari Said Kwa kuibua kesi inayotusaidia kwajua watu na uwezo wao. Kila mchezaji wa Yanga, Simba, Azam au timu yoyote ya Ligi kuu amesaini mkataba kivyake, yeye na Mwanasheria wake au Wakala wake. Hakuna mchezaji amesaini mkataba wa jumla na wenzake. Hakuna mkataba wa mchezaji yeyote ulio na kipengele cha kutetea maslahi ya Mchezaji mwenzake. Kwa mantiki hiyo kuwalaumu Wachezaji wa Yanga eti hawamsapoti Feisal kwenye mgogoro wake na mwajiri wake ni kuwaonea. Ningewaona wa ajabu kama hata wangetoka na kumlaumu Kwa sababu hayawahusu.
 
Mnahangaika sana aisee, mmehamia kwa wachezaji sasa
 
Walipoona wanawalipa vijana hela ndogo licha ya kazi kubwa waliyofanya wakaamua wamalizane na Dickson job kimya kimya.
Contract is a mutual agreement.

Ukiona mtu mpaka anakubali kupokea kiasi fulani kama malipo yake basi ujue ndio anaona hiyo ndio thamani yake, Vinginevyo mchezaji atataka mzigo mkubwa zaidi au ataacha kusaini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…