Wachezaji wa Yanga baadhi wakutwa na dalili za covid 19 na wamewekwa karantini

Kingine hao Yanga si walituhamasisha tukachanjwe, unaposema wachukue tahadhari kwa kuchanjwa unamaanisha nini?
Siyo Yanga tu nimesema wachezaji wote mkuu, hata hivyo taarifa hivi so za uhakika
 
Siyo Yanga tu nimesema wachezaji wote mkuu, hata hivyo taarifa hivi so za uhakika
Mnahitaji kuendelea kujifunza ili mfahamu kwamba kupata chanjo hakukuondolei kuambikizwa covid, nimekuwa nikisbuhudia raia kibao wa nje wanapofanyiwa PCR test wanakutwa wakiwa positive, na ukimwuliza anakwambia tayari ninachanjo zote, tofauti iliyopo tu ni kwamba unapokuwa umechanja hauonyeshi dalili yoyote, Kati ya wachezaji ishirini na kukuta watano ni symptomatic ni jambo la kawaida.
 
Figisu figisu zmeanza yanga njia wapo panda CAF
 
Wewe sio mnyama kweli ,unajaribu kupenyeza taharuki?
 
Hizo habari ni za kwako shetani ajawai kumshinda mungu, majibu ya covid bado ayajatoka mpaka sasa wewe izo taarifa umezipata wapi, na sisi ndo tuko na timu Nigeria unaongea upuuzi gani,
 
Inasemekana hayo ni majibu ya awali tu ya vipimo vilivyotolewa bado kuna mkeka mwingine unaandaliwa chimbo.
 
Sio kweli,yanga wachezaji wote,walidungwa j&j,na pia wana vyeti vya kuoimwa na pia wameenda na modokta ambao watasimamia upimwaji wao huku

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Jana Pascal Kapombe akiripoti toka Nigeria alisema walipofika uwanja wa ndege Nigeria uhamiaji walichukua vyeti vyote vya kupimwa covid vya wachezaji na wote waliotoka Tz na hawakurudishiwa ,walipoulizwa wakaambiwa huo ndo utaratibu wao ,inabidi waanze upya process za kupima Covid.

Halafu pia Rivers wamegoma Azam kurusha matangazo hata ya redio ,kwanza wao wenyewe hawarushi kwao
 
Hizo habari ni za kwako shetani ajawai kumshinda mungu, majibu ya covid bado ayajatoka mpaka sasa wewe izo taarifa umezipata wapi, na sisi ndo tuko na timu Nigeria unaongea upuuzi gani,
Uko karume unapiga debe hata passport hujui ina rangi gani!! Unajitutumua eti upo Nigeria!!
 
Umbeya huo Babra unapata shida sana hakuna kitu kama hicho.Wachezaji wote wako salama na wako tayari kwa mchezo wa leo.Jiandae kisaikolojia mwisho wako wa mbwembwe Tarehe 25/9/2021 kwenye mechi ya Ngao ya jamii.Nyama pori italiwa supu bila huruma
 
Yanga nao walikosea kuleta figisu mapema nahuku wanajua wana mchezo mwingine kwao timing haikuwa Sawa kabisa
 
Acha kulia lia we utopwinyo, na bado, muosha huoshwa.
 
Wachezaji na viongozi wote wapo salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…