Wachezaji wa Yanga wanatumia nguvu kama vile mieleka wakati wa kukaba lakini waamuzi wa hapa huwa wanawabeba

Wachezaji wa Yanga wanatumia nguvu kama vile mieleka wakati wa kukaba lakini waamuzi wa hapa huwa wanawabeba

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Sioni ajabu hii Yanga kushindwa kwenda mbali kimataifa kwani mechi zinazochezeshwa na waamuzi wa nje,wanacheza mpira na sio mieleka wakati wa kukaba ndio maana wanafungika vizuri sana.

Waamuzi wetu hapa huona sana mchezaji wa yanga anapoguswa na kujiangusha pale anapozidiwa ujanja,lakini mchezaji huyo huyo akimzidi mpinzani ujanja hata kama ametumia nguvu nyingi kumsukuma,utasikia watangazaji wanaita fair challenge kisa mwamuzi kameza filimbi.

Nashauri TFF ione umuhimu wa kuleta nwamuzi kutoka nje,na siyo hawa akina aragija wanaoingia na matokeo uwanjani.

Aragija achezeshe mechi nyingine zote lakini derby waiteni waamuzi kutoka nje.
TFF jiangalieni maana kuna siku mtasababisha dhahama kubwa sana.

Mwamuzi huyu huwa anakuwa na hila anapochezesha.Anaweza kuwabeba kwenye matukio ya kijinga ili kuwaandaa kisaikolojia kuja kuwaumiza kwenye tukio moja tu na kuwatoa mchezoni.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
"Sioni ajabu hii Yanga kushindwa kwenda mbali kimataifa"

Yanga yenyewe sasa 👇🏽😀

GVl8aDbXUAAdFOT.jpeg
 
Kweli kabisa yanga wanacheza rafu za wazi ila Arajiga huwa hacheki na wowote
FB_IMG_1741268715047.jpg
 
Kweli kabisa yanga wanacheza rafu za wazi ila Arajiga huwa hacheki na wowote View attachment 3261353
Aragija ni mpuuzi sana na wachezaji wa Simba waambiwe kuwa huyu jamaa wasitegemee kabisa maamuzi yake.
Mchezaji anaweza kuchezewa rafu akiwa anashambulia,halafu ninyi mnazubaa kusubiri mwamuzi apige filimbi,unashangaa mnapigwa counter attack na mnafungwa vizuri tu mkiwa bado mmezubaa
 
Sioni ajabu hii Yanga kushindwa kwenda mbali kimataifa kwani mechi zinazochezeshwa na waamuzi wa nje,wanacheza mpira na sio mieleka wakati wa kukaba ndio maana wanafungika vizuri sana.

Waamuzi wetu hapa huona sana mchezaji wa yanga anapoguswa na kujiangusha pale anapozidiwa ujanja,lakini mchezaji huyo huyo akimzidi mpinzani ujanja hata kama ametumia nguvu nyingi kumsukuma,utasikia watangazaji wanaita fair challenge kisa mwamuzi kameza filimbi.

Nashauri TFF ione umuhimu wa kuleta nwamuzi kutoka nje,na siyo hawa akina aragija wanaoingia na matokeo uwanjani.

Aragija achezeshe mechi nyingine zote lakini derby waiteni waamuzi kutoka nje.
TFF jiangalieni maana kuna siku mtasababisha dhahama kubwa sana.

Mwamuzi huyu huwa anakuwa na hila anapochezesha.Anaweza kuwabeba kwenye matukio ya kijinga ili kuwaandaa kisaikolojia kuja kuwaumiza kwenye tukio moja tu na kuwatoa mchezoni.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Crap
 
Back
Top Bottom