Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Mbona picha hazina maelezo be smart
Mkuu una utani na watu, utapigwa mawe.Mba ndio wa kwanza katika list aliyesajiliwa na Yanga... maana Shamra shamra zilianzia Airport and then Magazetini basi kila uchwao Mba Mba Mba mazoezini alifunga goli moja magazeti yakalipuka Mba Mba Mba kivumbi kwenye ligi aliishia kufunga goli moja tu. and then sikumsikia tena.
Nimemuona Davis Mwape
Kanu MbiyavangaLinoMusombo Musombo,
Hahaha...huyu jamaa alikuwa ni hatari. Alipambwa sanaKabonge honore winga teleza
Wamrejeshe tena maana now Yanga pesa imekauka na Wangebugi kumkodisha Manji ile mika kumi Yanga ingetaifishwa na kuwekwa kwenye kabati la serikaliMkuu una utani na watu, utapigwa mawe.