Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Mods pliz msiunganishe uzi huu
Hawa ndio wameiua na kuizika Yanga leo huku wakiwa ni waajiriwa wa timu hiyo.
Mimi naanza na Hassan Kessy ambaye ni mnazi wa kutupwa wa Simba aliyeihujumu Yanga leo bila aibu.
Papy Kabamba Tshishimbi ambaye alipotea toka dakika ya kwanza.
Ibrahim Ajib. Mwanasimba huyu kindakindaki zaidi ya kupiga Outer zisizo na faid kwenye timu alikuwa anazurura tu.
Naomba waitwe wahojiwe mapema na haraka iwezekenavyo...
Hawa ndio wameiua na kuizika Yanga leo huku wakiwa ni waajiriwa wa timu hiyo.
Mimi naanza na Hassan Kessy ambaye ni mnazi wa kutupwa wa Simba aliyeihujumu Yanga leo bila aibu.
Papy Kabamba Tshishimbi ambaye alipotea toka dakika ya kwanza.
Ibrahim Ajib. Mwanasimba huyu kindakindaki zaidi ya kupiga Outer zisizo na faid kwenye timu alikuwa anazurura tu.
Naomba waitwe wahojiwe mapema na haraka iwezekenavyo...